Asali ina historia ndefu ya kuamsha uume pamoja na kuwa dawa madhubuti ya kuponyesha uhanithi. Kutokana na uwezo wake kama kiamshaji/chaji, asali ilipigwa marufuku kwa makasisi katika baadhi ya dini za kimashariki mwa Dunia. Mwaka jana, watafiti wa kiaustralia waligundua kwamba asali ina uwezo wa kupeleka mwili kutoa homoni mbalimbali kama ilivyo kwa mdalasini, katika Africa na dunia ya kusini, mabaharia wamekuwa wakipaka asali katika sehemu zao za nje ya uume ili kuongeza stamina zao za kufanya mapenzi.
Wataalamu wana Bainisha:
Tafiti zinaonyesha kuwa! Ukichukua asali vijiko vikubwa vitatu3, mdalasini vijiko vikubwa vitatu 3 na tangawizi vijiko vikubwa vitatu 3 ukichanganya na maji vuguvugu glass 1 kisha ukaiacha kwa muda wa dk 15 hadi 30, kisha ukachuja na kunywa! Huongeza hamu ya kufanya mapenzi, na muda wa mechi huongezeka na uimara katika tendo zima lakini pia mchanganyo huo huongeza joto mwilini na kuongeza raha.
Ugumba:
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7hx5L4l2uN6boHhyphenhyphenIIS2PbiyurswHlmxGi9LBqOvTl4HwqHCCEJj9BCSrOIXLdQ03oNR39E2UUrDTc6S9fjfBqSp7TUKSMwpQGkoOIb3tpbQ0r03Ppyk8syP0T1WG8aAnqssYlQJQy5FQ/s200/mdalasini+joint+pic+7.png)
No comments:
Post a Comment