Kanuni

KANUNI

Kabla ya kukupatia kanuni ya jinsi ya kuandaa chakula dawa hiki ni vyema nikafahamu mambo muhimu kwanza kutoka kwako juu ya tatizo linalokusibu ili niweze kukupatia kanuni iliyo sahihi. (kumbukaka taarifa zote ni siri kati ya Daktari na mgonjwa): 
  
Taarifa
 
Taarifa za msingi
Umri:
Kazi unayofanya kwa sasa:
Umeoa:       Haujaoa:
Kama umeoa je unampenda mpenzi wako?
Je unafanya tendo la ndoa ?
Unafanya tendo la ndoa mara ngapi kwa wiki au mwezi ?
Je kuna maongezeko yoyote au mapungufu kulingana hapo miaka iliyopita ?
 
Je unafikili ni nini kimeleta mapungufu hayo ?
Je katika siku za usoni umewahi kupata tatizo lolote la uume kushindwa kusimama ulipotaka iwe hivyo ?
Je umewahi kutokewa na tatizo hilo kabla hapo zamani ?
Umewahi kuwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni (premature ejaculation
Je hii ndo shida yako kwa sasa?
Je tatizo hili ni tangu ujanani au lah?
Je umegundua mabadiliko yoyote katika hisia za kimapenzi ?
Kama je unaweza kunieleza kidogo ?


Je unakula milo mingapi kwa siku na mlo kamili ?
Je unalishwa na aina ya utendaji kazi wako katika maisha ya kimapenzi (sexual life )
Je unafikili mpenzi wako analidhishwa na jinsi mambo yanavyokwenda kwa sasa ukilinganishwa na awali au ni mazoea tu? 


    

No comments:

Post a Comment


widget